Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alipotembelea banda la Chuo cha Maji katika maonesho ya Mkutano wa Maji na Uwekezaji Africa uliofanyika Machi, 2022 Zanzibar
Watumishi wa Chuo cha Maji walipotembelea hifadhi ya Misitu ya Pugu Kazimzumbwi maarufu kama Ushoroba, katika kuunga mkono juhudi za kukuza Utalii wa ndani
Watumishi wa Chuo cha Maji kwenye maadhimisho ya Mei Mosi 2022
Bweni la Chuo cha Maji lilolokarabatiwa na Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Hamidu Aweso (Mb)
Naibu Waziri wa Maji Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb) akizindua Jarida la JWEMPO
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Hamidu Aweso (Mb) na Viongozi mbalimbali katika Hafla ya makabidhiano ya Kituo cha Utafiti cha Ngurudoto kwa Chuo cha Maji