News

Wanafunzi wa Kidato cha Nne Waliochaguliwa Kujiunga Chuo cha Maji

Majina ya Wanafunzi waliomaliza kidato cha Nne mwaka 2021 waliopangiwa na TAMISEMI kujiunga na kozi mbalimbali za Chuo cha Maji. Utaratibu wa kuthibitisha na kupata fomu ya Chuo utatolewa mara punde utakapofafanuliwa na Baraza la Taifa la Ufundi (NACTE).

Tunawapongeza na kuwakaribisha wale wote waliopangiwa Chuo cha Maji. Karibuni sana. Bofya hapa kupata majina hayo

https://www.waterinstitute.ac.tz/uploads/documents...

Bofya https://www.wi-water.co.tz/ KUTHIBITISHA kwamba utahudhuria Masomo CHUO CHA MAJI.

Karibu Chuo Cha Maji.

Posted on 13th May, 2022